Kwenye kikao hicho kilichoanza saa nne asubuhi na kuhitimishwa saa nane mchana, taarifa zinaeleza jopo la maofisa wa Ofisi ya ...
Alianza kufanya vizuri kwenye muziki akiwa bado ni kijana mdogo, uwezo wake wa kuandika mistari kwenzi na kuichana vilivyo ...
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na chama hicho jana Machi 17, 2025 ilieleza kuwa ajenda kuu waliyoitiwa ni kaulimbiu yao ya ...
Unaweza kusema mwigizaji Joice Mbaga ‘Nicole Berry’ alikuwa na kiu ya kutumia mitandao ya kijamii. Hii ni baada ya kutupia ...
Mpina amesema katika kipindi hicho, pia kesi 287 za ukatili wa kijinsia ziliripotiwa katika vituo vya polisi vya wilaya hizo, ambapo wanawake waliofanyiwa ukatili walikuwa 252 na wanaume ...
Miongoni mwa vipengele hivyo ni kuimarishwa kwa mfuko wa fidia ili kurahisisha ulipaji kwa haki, wakati na thamani halisi, pamoja na kutoa ruhusa kwa wawekezaji kutoka nje kujenga nyumba ...
Dar es Salaam. Hali ya kiuchumi ya mwanamke inategemea mambo mengi, lakini baadhi ya vipengele muhimu vinavyochangia mafanikio ni elimu, nidhamu, kujituma, kujiamini na uwepo wa rasilimali.
Rungwe. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amemtaka Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, kufanya mazungumzo na kampuni ya Mohammed Enterprises ili irejeshe mashamba ...
Kama kuna msanii anadaiwa anapenda sana wanawake, basi ni Hemed PHD. Zaidi, alipenda kujinadi anapenda kujihusisha na wanawake tofauti kimahusiano na haipiti siku tatu bila kukutana na mmoja wao.
Lengo lilikuwa kufanya wazungumzaji wa lugha ya Kiswahili kuweza kuelewa vyema vitabu hivyo takatifu. Akizungumza katika ...
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji wa ardhi nchini kubadilika kwa sababu wananchi wanawalalamikia kwa rushwa, ...
Kwa sisi tulio Tanzania, mwaka huu una mvuto wa kipekee tukiwa tunaadhimisha miaka 45 ya uhusiano baina ya nchi hizi mbili.
当前正在显示可能无法访问的结果。
隐藏无法访问的结果